Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 25:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulikuwa na mtu mmoja huko mjini Maoni ambaye alikuwa na biashara ya kondoo mjini Karmeli. Huko Karmeli alifuga kondoo wake na kuwakata manyoya. Alikuwa tajiri sana. Alikuwa na kondoo 3,000 na mbuzi 1,000.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 25

Mtazamo 1 Samueli 25:2 katika mazingira