Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 24:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa maneno hayo, Daudi akawashawishi watu wake wasimdhuru Shauli; aliwakataza wasimshambulie. Kisha Shauli akasimama, akatoka pangoni akaendelea na safari yake.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 24

Mtazamo 1 Samueli 24:7 katika mazingira