Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 23:28-29 Biblia Habari Njema (BHN)

28. Hivyo, Shauli akaacha kumfuatilia Daudi, akaenda kupigana na Wafilisti. Ndio maana mahali hapo pakaitwa “Mwamba wa Matengano.”

29. Daudi aliondoka mahali hapo, akaenda kuishi kwenye ngome ya mji wa Engedi.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 23