Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 23:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wakaondoka kwenda Zifu, wakimtangulia Shauli.Wakati huo, Daudi na watu wake walikuwa katika jangwa la Maoni, katika bonde la Araba kusini mwa Yeshimoni.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 23

Mtazamo 1 Samueli 23:24 katika mazingira