Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 22:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Shauli akawaambia watumishi wake, “Sasa nyinyi watu wa kabila la Benyamini nisikilizeni, je, mnadhani huyu Daudi mwana wa Yese atampa kila mmoja wenu mashamba na mashamba ya mizabibu? Au je, mnadhani atamfamya kila mmoja wenu kamanda wa maelfu au kamanda wa mamia ya majeshi?

Kusoma sura kamili 1 Samueli 22

Mtazamo 1 Samueli 22:7 katika mazingira