Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 22:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli akawaambia walinzi waliokuwa wamesimama kandokando yake, “Geukeni na kuwaua makuhani wa Mwenyezi-Mungu, maana wao wanapatana na Daudi; walijua kuwa ametukimbia wala hawakuniarifu.” Lakini walinzi hao hawakuinua mikono yao ili kuwaua makuhani wa Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 22

Mtazamo 1 Samueli 22:17 katika mazingira