Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 21:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi alikwenda kwa kuhani Ahimeleki huko Nobu. Ahimeleki akatoka kumlaki huku akiwa anatetemeka, akamwuliza, “Kwa nini umekuja hapa peke yako?”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 21

Mtazamo 1 Samueli 21:1 katika mazingira