Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 20:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akamwambia, “Kesho ni sherehe za mwezi mwandamo, nami natazamiwa kuwapo mezani kula pamoja na mfalme. Lakini niache, nikajifiche huko shambani hadi siku ya tatu jioni.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 20

Mtazamo 1 Samueli 20:5 katika mazingira