Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 20:42 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu Yonathani akamwambia Daudi, “Nenda kwa amani. Tumekwisha apa wote kwa jina la Mwenyezi-Mungu, kuwa Mwenyezi-Mungu awe shahidi kati yetu milele, na kati ya wazawa wangu na wazawa wako milele.” Daudi akainuka na kwenda zake, naye Yonathani akarudi mjini.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 20

Mtazamo 1 Samueli 20:42 katika mazingira