Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 20:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku ya pili, baada ya sherehe za mwezi mwandamo, bado mahali pa Daudi palikuwa wazi. Shauli akamwuliza mwanawe Yonathani, “Kwa nini Daudi mwana wa Yese, hakuja kwenye chakula, jana na leo?”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 20

Mtazamo 1 Samueli 20:27 katika mazingira