Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 20:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama ilivyokuwa kawaida yake, mfalme aliketi kwenye kiti chake kilichokuwa karibu ukutani. Yonathani akaketi mkabala na mfalme na Abneri akaketi karibu na mfalme. Lakini mahali pa Daudi pakawa wazi.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 20

Mtazamo 1 Samueli 20:25 katika mazingira