Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 20:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitamtuma mtumishi wangu aende kuitafuta mishale hiyo. Kama nikimwambia, ‘Tazama, mishale hiyo iko upande huo wako, ichukue,’ hiyo itakuwa na maana kwamba uko salama, nawe utajitokeza kutoka mahali ulipojificha, maana naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, kwamba utakuwa salama bila hatari yoyote.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 20

Mtazamo 1 Samueli 20:21 katika mazingira