Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 20:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi alikimbia kutoka Nayothi katika Rama, akaenda mpaka kwa Yonathani, akamwambia, “Nimefanya nini? Kosa langu ni nini? Nimemtendea baba yako dhambi gani hata ajaribu kuyaangamiza maisha yangu?”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 20

Mtazamo 1 Samueli 20:1 katika mazingira