Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 2:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, nitajiinulia kuhani mwingine mwaminifu atakayefanya kulingana na yale yaliyomo moyoni na akilini mwangu. Nitamjengea ukoo imara, naye atahudumu daima mbele ya mfalme wangu.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 2

Mtazamo 1 Samueli 2:35 katika mazingira