Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 2:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Zaidi ya hayo, hata kabla mafuta hayajachomwa, mtumishi wa kuhani huja na kumwambia yule mtu anayetoa tambiko, “Mtolee kuhani nyama ya kubanika maana yeye hatapokea nyama yako iliyochemshwa, bali iliyo mbichi.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 2

Mtazamo 1 Samueli 2:15 katika mazingira