Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 18:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli hakupendezwa na maneno ya wimbo huo, hivyo akakasirika sana. Akasema, “Wamempa Daudi makumi elfu, lakini mimi wamenipa maelfu tu. Lililobakia ni kumpa Daudi ufalme.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 18

Mtazamo 1 Samueli 18:8 katika mazingira