Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 18:29-30 Biblia Habari Njema (BHN)

29. alizidi kumwogopa Daudi. Shauli akawa adui wa Daudi daima.

30. Jeshi la Wafilisti lilikwenda kupigana na Waisraeli, lakini kila mara walipopigana vita, Daudi alipata ushindi kuliko watumishi wa Shauli; hivyo jina lake Daudi likazidi kusifiwa sana.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 18