Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 18:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi na watu wake walikwenda, wakawaua Wafilisti 200 na kuyachukua magovi yao mpaka kwa mfalme Shauli. Hapo akamhesabia idadi kamili ili mfalme awe baba mkwe wake Daudi. Hivyo, Shauli akamwoza Daudi binti yake Mikali awe mke wake.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 18

Mtazamo 1 Samueli 18:27 katika mazingira