Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 18:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, watumishi hao wa Shauli walimwambia Daudi maneno hayo faraghani, naye akawaambia, “Mimi ni mtu maskini na duni. Je mnadhani mfalme kuwa baba mkwe wangu ni jambo rahisi?”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 18

Mtazamo 1 Samueli 18:23 katika mazingira