Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 18:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli alifikiri, “Ngoja nimwoze huyu ili awe mtego kwake. Na bila shaka Wafilisti watamuua.” Hivyo Shauli akamwambia Daudi mara ya pili, “Sasa nitakuwa baba mkwe wako.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 18

Mtazamo 1 Samueli 18:21 katika mazingira