Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 18:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Kesho yake, roho mwovu kutoka kwa Mungu, alimvamia Shauli kwa ghafla, akawa anapayukapayuka kama mwendawazimu nyumbani kwake. Daudi alikuwa anapiga kinubi kama alivyofanya siku zote. Shauli alikuwa na mkuki mkononi mwake;

Kusoma sura kamili 1 Samueli 18

Mtazamo 1 Samueli 18:10 katika mazingira