Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 18:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Shauli alipomaliza kuzungumza na Daudi, Yonathani mwana wa Shauli, alivutiwa sana na Daudi, akampenda kwa moyo wake wote kama alivyojipenda yeye mwenyewe.

2. Tangu siku hiyo, Shauli akamchukua Daudi nyumbani kwake, asimruhusu kurudi nyumbani kwa baba yake.

3. Kwa kuwa Yonathani alimpenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 18