Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 17:57 Biblia Habari Njema (BHN)

Mara tu Daudi aliporudi kambini baada ya kumuua Goliathi, Abneri alimchukua na kumpeleka kwa Shauli. Wakati huo Daudi alikuwa bado amechukua kichwa cha Goliathi mikononi mwake.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 17

Mtazamo 1 Samueli 17:57 katika mazingira