Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 17:55 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli alipomwona Daudi akienda kumkabili yule Mfilisti Goliathi, alimwuliza Abneri, kamanda wa jeshi lake, “Abneri, huyu ni kijana wa nani?” Abneri alijibu, “Mfalme, kama uishivyo, mimi sijui.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 17

Mtazamo 1 Samueli 17:55 katika mazingira