Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 17:51 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, akaenda mbio, akasimama juu ya Goliathi, akaufuta upanga wa Goliathi alani mwake, akamuua Goliathi kwa kumkata kichwa chake.Wafilisti walipoona kuwa shujaa wao ameuawa, wakatimua mbio.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 17

Mtazamo 1 Samueli 17:51 katika mazingira