Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 17:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akawauliza wale waliokuwa karibu naye, “Je, mtu atakayemuua Mfilisti huyu na kuikomboa Israeli kutokana na aibu hii atafanyiwa nini? Ni nani huyu Mfilisti, mtu asiyetahiriwa, anayethubutu kuyatukana majeshi ya Mungu aliye hai?”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 17

Mtazamo 1 Samueli 17:26 katika mazingira