Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 17:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Kesho yake, Daudi aliamka asubuhi na mapema, na kondoo akamwachia mchungaji. Alichukua chakula na kwenda kama alivyoagizwa na baba yake Yese. Alipofika kwenye kambi ya Waisraeli, aliwakuta wanajipanga kwenye sehemu yao ya vita na wanapiga kelele za vita.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 17

Mtazamo 1 Samueli 17:20 katika mazingira