Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 17:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi alikuwa mtoto wa Yese, Mwefrathi kutoka Bethlehemu katika Yuda. Yese alikuwa na watoto wanane wa kiume. Wakati Shauli alipokuwa mfalme, yeye alikuwa tayari mzee, mtu mwenye umri mkubwa.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 17

Mtazamo 1 Samueli 17:12 katika mazingira