Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 16:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kijana mmoja miongoni mwa watumishi akasema, “Nimemwona kijana mmoja wa Yese, wa mji wa Bethlehemu. Kijana huyo ana ujuzi wa kupiga kinubi. Huyo kijana ni shujaa, hodari wa kupigana vitani, ana busara katika kusema na mwenye umbo zuri; Mwenyezi-Mungu yuko pamoja naye.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 16

Mtazamo 1 Samueli 16:18 katika mazingira