Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 16:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Samueli akachukua upembe wake wenye mafuta akammiminia Daudi mafuta mbele ya kaka zake. Mara roho ya Mwenyezi-Mungu ikamjia Daudi kwa nguvu, ikakaa tangu siku hiyo na kuendelea. Kisha Samueli akarudi mjini Rama.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 16

Mtazamo 1 Samueli 16:13 katika mazingira