Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 16:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Yese aliwapitisha wanawe wote saba mbele ya Samueli lakini Samueli akamwambia, “Mwenyezi-Mungu hajamchagua yeyote kati ya hawa.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 16

Mtazamo 1 Samueli 16:10 katika mazingira