Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 16:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akamwambia Samueli, “Utamlilia Shauli mpaka lini? Wewe unajua kuwa mimi nimemkataa kuwa mfalme juu ya Israeli. Sasa, jaza upembe wako mafuta, uondoke. Nitakutuma kwa Yese wa mji wa Bethlehemu. Maana nimejipatia mfalme miongoni mwa wanawe.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 16

Mtazamo 1 Samueli 16:1 katika mazingira