Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 15:8-10 Biblia Habari Njema (BHN)

8. Alimteka mfalme Agagi wa Waamaleki akiwa hai. Akawaua watu kwa makali ya upanga.

9. Lakini Shauli na watu wake hawakumuua Agagi, wala kondoo bora kabisa, ng'ombe wazuri, ndama, wanakondoo na chochote kile kilichokuwa kizuri hawakukiangamiza. Lakini vitu vyote vibaya na visivyo na thamani waliviangamiza.

10. Mwenyezi-Mungu akamwambia Samueli,

Kusoma sura kamili 1 Samueli 15