Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 15:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Samueli alimwambia Shauli, “Mwenyezi-Mungu alinituma kukupaka mafuta uwe mfalme wa watu wake wa Israeli. Sasa sikiliza maneno ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 15

Mtazamo 1 Samueli 15:1 katika mazingira