Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 14:45 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini watu wakamwambia Shauli, “Mbona Yonathani aliyeiletea Israeli ushindi huu mkubwa, auawe? Jambo hilo liwe mbali. Twaapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, hata unywele wa kichwa chake hautaanguka chini. Alichokifanya leo, amekifanya kwa msaada wa Mwenyezi-Mungu.” Hivyo, watu walimkomboa Yonathani naye hakuuawa.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 14

Mtazamo 1 Samueli 14:45 katika mazingira