Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 14:36 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Shauli akawaambia watu, “Twendeni tukawafuatie Wafilisti usiku, tukawavamie na kupora mali zao mpaka asubuhi; hatutamwacha mtu yeyote hai.” Watu wakamwambia, “Fanya unachoona kuwa chema kwako.” Lakini kuhani akawaambia, “Kwanza tuombe shauri kwa Mwenyezi-Mungu.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 14

Mtazamo 1 Samueli 14:36 katika mazingira