Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 14:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yonathani hakuwa amesikia baba yake alipowaapisha watu. Hivyo akainyosha fimbo aliyokuwa nayo, akaichovya kwenye sega la asali, akala asali hiyo. Hapo akajisikia kuwa na nguvu.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 14

Mtazamo 1 Samueli 14:27 katika mazingira