Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 14:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Wafilisti waliokuwa kwenye ngome wakamwita Yonathani na kijana aliyembebea silaha, “Njoni huku kwetu, nasi tutawaonesha kitu.”Yonathani akamwambia yule kijana aliyembebea silaha, “Nifuate; Mwenyezi-Mungu amewatia mikononi mwa Israeli.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 14

Mtazamo 1 Samueli 14:12 katika mazingira