Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 14:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku moja, Yonathani mwana wa mfalme Shauli alimwambia kijana aliyembebea silaha, “Njoo, twende ngambo kwenye ngome ya Wafilisti.” Lakini Yonathani hakumwambia baba yake.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 14

Mtazamo 1 Samueli 14:1 katika mazingira