Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 13:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli walipoona wako taabuni (maana walikuwa wanashambuliwa vikali), walianza kujificha. Wengine walijificha mapangoni, wengine mashimoni, wengine kwenye miamba, wengine kwenye makaburi na wengine kwenye visima.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 13

Mtazamo 1 Samueli 13:6 katika mazingira