Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 13:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Wafilisti walitoka kwenye kambi yao kwenda kuwashambulia wakiwa wako katika vikosi vitatu. Kikosi kimoja kilielekea Ofra katika nchi ya Shuali.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 13

Mtazamo 1 Samueli 13:17 katika mazingira