Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 12:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Niko hapa, na kama nimefanya tendo lolote lile baya, basi, toeni ushahidi mbele ya Mwenyezi-Mungu na mbele ya mfalme wake mteule. Je, nimepora fahali au punda wa mtu yeyote? Je, nimempunja mtu yeyote? Je, nimemkandamiza mtu yeyote? Je, nimepokea rushwa kwa mtu yeyote ili kupotosha haki? Nami nitamrudishia chochote kile.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 12

Mtazamo 1 Samueli 12:3 katika mazingira