Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 11:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Sasa, Shauli alikuwa anatoka shambani akiwa na fahali wake, akauliza, “Watu wana nini? Kwa nini wanalia?” Wakamwambia habari waliyoleta wajumbe kutoka Yabeshi.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 11

Mtazamo 1 Samueli 11:5 katika mazingira