Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 11:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Wazee wa Yabeshi wakamwambia, “Tupe muda wa siku saba ili tuwatume wajumbe katika nchi yote ya Israeli. Kama hakuna mtu yeyote wa kutuokoa, tutajisalimisha wenyewe kwako.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 11

Mtazamo 1 Samueli 11:3 katika mazingira