Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 11:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Kesho yake, Shauli aliwagawa watu katika vikosi vitatu. Wakati wa zamu ya asubuhi, wakaingia kwenye kambi ya adui, na kuwashambulia Waamoni. Kufikia adhuhuri adui wengi walikuwa wamekatiliwa mbali. Wale walionusurika walitawanyika ovyo, hata kusiwe kikundi chochote cha watu wawili pamoja.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 11

Mtazamo 1 Samueli 11:11 katika mazingira