Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 10:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, utakapofika huko Gibea-elohimu, mahali ambapo pana kambi ya kijeshi ya Wafilisti; hapo, utakapokuwa unakaribia mji, utakutana na kundi la manabii. Manabii hao watakuwa wanatoka mahali pa juu huku wakipiga vinubi, matari, filimbi na zeze, na watakuwa wanatabiri.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 10

Mtazamo 1 Samueli 10:5 katika mazingira