Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 10:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, Samueli aliwaeleza watu juu ya wajibu na haki za mfalme, akaziandika katika kitabu ambacho alikiweka mbele ya Mwenyezi-Mungu. Kisha, Samueli aliwaaga watu wote, kila mtu aende nyumbani kwake.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 10

Mtazamo 1 Samueli 10:25 katika mazingira