Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 1:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Kesho yake asubuhi, Elkana na jamaa yake waliamka asubuhi na mapema, na baada ya kumwabudu Mwenyezi-Mungu, walirudi nyumbani Rama. Elkana akalala na mkewe Hana, naye Mwenyezi-Mungu akamkumbuka.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 1

Mtazamo 1 Samueli 1:19 katika mazingira