Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 1:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Akaweka nadhiri akisema, “Ee Mwenyezi-Mungu wa majeshi, kama tu utayaangalia mateso yangu mimi mtumishi wako ukanikumbuka mimi, bila kunisahau, mimi mtumishi wako, ukanijalia mimi mtumishi wako, mtoto wa kiume, nitakupa wewe Mwenyezi-Mungu mtoto huyo awe wako maisha yake yote; wembe hautapita kichwani pake kamwe.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 1

Mtazamo 1 Samueli 1:11 katika mazingira