Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 1:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulikuwa na mtu mmoja mjini Rama katika nchi ya milima ya Efraimu aitwaye Elkana wa kabila la Efraimu. Yeye alikuwa mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu mwana wa Tohu, mwana wa Sufu.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 1

Mtazamo 1 Samueli 1:1 katika mazingira